project

Contemporary business and science treat as a project (or program) any undertaking, carried out individually or collaboratively and possibly involving research or design, that is carefully planned (usually by a project team) to achieve a particular aim.An alternative view sees a project managerially as a sequence of events: a "set of interrelated tasks to be executed over a fixed period and within certain cost and other limitations".A project may be a temporary (rather than permanent) social system (work system), possibly constituted by teams (within or across organizations) to accomplish particular tasks under time constraints.A project may be a part of wider programme management or an ad hoc structure.
Note that open-source software "projects" (for example) may lack defined team-membership, precise planning and time-limited durations.

View More On Wikipedia.org
  1. snipa

    Tether USDT scam project Kuna siku tutalia sana, Grok AI kaipa red flag kwamba haiamini lakini anataka ni iamini, Je tether ni scam project ya USA?

    Wadau Leo ktk pitapita zangu nikakutana na mpango wa Marekani kufungua crypto reserve kama walivyofanya kwenye Gold reserve kule fort Knox. Lakini Kuna siku niliwahi sema siiamini USDT kwasabu ni scam project Kwa ninavyo amini Mimi. Lakini Leo nikaona nichart na Grok AI ya marekani. Kwanza...
  2. Davidmmarista

    Jifunze Mobile App Development kwa Kutengeneza Project Mbalimbali!

    Karibu kwenye darasa letu la mobile app development! Hapa tutajifunza React Native kwa vitendo, tukijenga project 4 halisi kwa wiki moja moja. Jiunge na group letu la Whatsapp na upate uzoefu wa kweli katika kutengeneza apps. Jiunge na group letu WhatsApp hapa: WhatsApp Group Link
  3. A

    No reforms No election ni project nzuri lakini ngumu mno. Plan B & C ni ipi?

    Wana madai ya Msingi sana. UHALISIA ULIVYO Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe.... Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie. Kukubali Uchaguzi katika...
  4. M

    Kweli wa Tanzania tumeshindwa hata kujenga bara bara za mwendo kasi wenyewe ? Bwawa sawa ni Complex project ila hata BRT roads hatuwezi

    Hili limeniumiza sana Kweli karne hii bado wazawa tumeshindwa kabisa kusuka nondo na kumwaga zege kwa ajili ya kujenga barabara ili ma bus ya mwendokasi yapite. Wageni tunaowapa tenda wanatudharau sana.
  5. MKATA KIU

    Arab contractor wanakabidhi bwawa la umeme, watu elfu 11 wameshiriki kulijenga, ndio Mradi Mkubwa wa kiuhandisi kuwahi kutokea Tanzania

    Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme. Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanyika Tanzania na Africa mashariki yote. 1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga 2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga...
  6. Nawashukuru Sana

    Kila kitu ni mradi hapa duniani (project) na binadamu ni mradi wa Mungu pamoja na shetani these are making big Profits

    Yaani hapa duniani kila kitu ni mradi (project) ambayo ipo designed by God and evil. God and devil are the same Wote hawa ni kitu kimoja. Wanabariki Wanampa mtu utajiri na umasikini Wanatoa laana . N.k So usipokuwa makini you will hustle in vain forever Lazima ukae na hawa coordinator in...
  7. Abraham Lincolnn

    Maajabu! Aliyekopa kidogo kwa miaka 6 maendeleo yanaonekana, Ila aliyekopa Trilion 35 kwa miaka minne hakuna project ya maana inayoonekana!

    Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo...
  8. D

    Mdogo wangu anatafuta taasisi ya kufanyia field ya project planning

    Habari za muda huu wanaJf. Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala...
  9. 10 kilotons of TNT

    Senior Project Coordinator anahitajika

    Kampuni ni ya nje inamilikiwa na wa Bangladesh ina miradi inatekeleza nchini hivi sasa, kwa ambaye yuko tayari ana vigezo anaweza kuomba.
  10. Pascal Mayalla

    Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!

    Wanabodi, Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM. Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!. Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka...
  11. M

    Pre GE2025 Godbless Lema: Niliambiwa na Boniface Jacob (Boni Yai) kuwa Wenje ni Project ya serikali

    Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje. Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe...
  12. T

    Project Consulting Services

    Providing strategic solutions to projects in the following areas: 1) Education (primary, secondary and intermediate colleges providing various certificates) 2) Community based programs or initiatives 3) Business oriented initiatives. Mode of services: ■As part time consultant./individual...
  13. Balqior

    Swali: Kwanini project nyingi ndogo ndogo za afrika ili ziendelee, inabidi tuombe pesa toka huko kwa wazungu? Kwetu hatuna matajiri?

    Habarini: Sizungumzii project kuuubwa, k.v ujenzi wa SGR au bwawa la umeme nazungumzia project za kawaida kama ujenzi wa choo cha wanafunzi, au darasa au maabara kwenye shule, au ujenzi wa vyumba vya waalimu, kisima, dispensary etc Sometimes unakuta hela inayohitajika sio pesa nyingi sana...
  14. Qs Cathbert

    PROJECT CONSTRUCTION COST CONTROL

    Tafuta michoro ya jengo iliyo complete check me nikufanyie quantification (material schedule) utajua msingi pekee utahitaj total shngapi, Boma mpaka roof Tsh ngapi,, materials itself like cements ngap, mchanga na kokoto kias gani, nondo kias gani, hadi misumari na tofali kias gani and all other...
  15. Career Mastery Hub

    Nafasi ya kazi: Logistics Project Development Manager

    TRADESAFE LIMITED LOCATION: DAR ES SALAAM, TANZANIA POSITION: LOGISTICS PROJECT DEVELOPMENT MANAGER CONTRACT TYPE: 1-3 YEARS CONTRACT --- ROLE OVERVIEW TradeSafe Limited is seeking a Logistics Project Development Manager to lead the development, creation, and introduction of innovative...
  16. Jamii Opportunities

    Project communication officer (EU) at WWF November 2024

    Job vacancy: Project communication officer (EU) World Wide Fund for Nature (WWF) is an international conservation NGO with a mission to stop the degradation of the planet’s natural environment and build a future where humans live in harmony with nature. The goal of the WWF Tanzania strategic...
  17. Jamii Opportunities

    Senior project lead MACP4 at WWF November 2024

    Job vacancy: Senior project lead MACP4 Job Summary WWF Tanzania is seeking a highly experienced, competent, and motivated Senior Project Lead for a coastal and marine project supported by WWF US and the MACP Foundation. The candidate will oversee the coordination and implementation of the MACP...
  18. Richard

    Independence Day and Project 2025 ni uhalisia au jambo la kufikirika?

    Indepencence Day na Project 2025 ndo itakuwa habari ya mjini ifikapo January 1, 2025. Ndege maalum ya kutoka angani au Spacecraft itatua katika ardhi ya nchi hii na iyakuwa imejaa abiria kadha wa kadha. Abiria wengi ni viumbe wa ajabu au Aliens na watakuwa ni hatari yaaani "vicious". Ni jukumu...
  19. Dear_me_

    Natafuta Mwekezaji (Milioni 50-Mtaji): Car rentals mega project

    Habari za Muda huu mwanakitaa/ mwana jf, mpambanaji Ningependa nikufunue macho kidogoo. Je unajua makampuni mengi makubwa yalianza kushika soko wakati uchumi ume yumba (Always Opportunity in adversity) Natafuta mwekezaji upande wa car tentals/logistics ni fursa kubwa iko upande huu ENDAPO...
  20. State Propaganda

    Kampuni ya Askari Metals iliyopata kibali uchimbaji wa Urani Dodoma kupitia Eyasi Uranium Project inamilikiwa na nani?

    Kampuni hiyo ya Askari Metals kupitia kampuni yake tanzu ya tanzania ujulikanayo kama Infinum Uranium so far tunaweza kusema imekwisha pata "baraka" zote za uwekezaji kutoka serikali ya SSH. Kwa kuanza, kampuni hiyo itafanya utafiti wa sampuli za miamba na geographia kabla ya kuanza uchimbaji...
Back
Top Bottom