Hello JF,
Hili sio eneo ninalojua..
ila Sio kila saa mvua ikinyesha kuna janga mahali..
i think projects kubwa kama za kujenga madaraja ziwe zina involve wahandisi wa kigeni…
I believe Mazingira yetu yana pose a challenge kwa wahandisi wa kigeni,
Na pia,wahandisi wetu matokeo ya projects...