2 plots attached for sale in Kawe Beach, located along Highway of Mwai Kibaki Road.
The land sized: 12,633 sqm is equal to 3 acres
Land use: Commercial
- Ideal for shopping mall, school, apartments, hotel, hospital, custom bounded warehouse or godowns construction, etc.
- Price US $...
• Direction: Opposite JNI Airport, Nyerere/Pugu Road
• Facilities: 3 frames, 1 warehouse
• Plot Area: 590 sqm
• Document: Title deed
• Price: TZS 320 million
• Site visiting charge: TZS 30,000
.
✓ ipo kando ya barabara kubwa ya Nyerere zamani Pugu, mkabala na uwanja wa ndege wa kimataifa wa...
Katika mpango unaolenga kuunga mkono juhudi serikali za kuhakikisha kunakuweko na nyumba za makazi bei, kampuni ya ya RE/MAX na ile ya Coral Property zimezindua mradi wa nyumba mpya za bei nafuu wa Sky Royal, mtaa wa Morocco Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi. Nyumba na Maendeleo ya...
Leo nimejaribu kufungua account ya kimtandao ya Online Registration System (ORS) katika taasisi ya Business and Property Registration Agency(BPRA).Taasisi hii iko Zanzibar na inafanya shughuli zinazofanana na zile za BRELA.
Katika utambulisho wa mfunguaji akaunti kwa maana ya...
Habari,
Nahitaji software ya gharama ndogo, web version kwa ajili ya kusimamia operation zote za appartment 8 sehemu tofauti na inventory kwenye garage na godown.
Pia ya transport na logistic low cost web version.
Nawasilisha
NB: ikiwa imedesigniwa hapa hapa Tanzania itapendeza pia
Wakuu Habari za muda huu!
Nimeitwa kwenye interview itakayofanyika Arusha siku ya ijumaa kwa kampuni binafsi.
Sasa siku hizi Kuna Swali common la candidate's salary expectations ambalo ndilo hutumiwa kuwachuja watahiniwa.
Naomba kufahamishwa range ya mshahara wa hii kazi kwa ngazi ya diploma...
President Uhuru Kenyatta, on Wednesday, signed into law three Bills including the Refugees Bill, Foreign Service Bill and the Law of Succession (Amendment).
The new Refugees Act, which had earlier been referred back to Parliament for reconsideration by the President, strengthens the management...
Hi
Forgive my post in English. Are there any property websites that cater exclusively to Tanzania? I'm thinking of starting one and would be grateful for your assistance.
I would also appreciate any views you may have on the idea.
Thanks
Land is suitable for both farming and commercial development purposes.
Fully fenced, great access, 8.3 acres’ land.Price TZS 8,500 million.Title deed ready.
Please contact for viewing and/or further information. 0784225000
Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu...
Wadau habari za asubuhi,
Kwa wataalamu wa kodi (Tax Consultants) ama watumishi wa TRA, kama nina nyumba eneo halijapimwa na mimi binafsi sina Tax Identification Number (TIN) nawezaje kulipa kodi ya majengo?
Asanteni
Habari zenu waungwana, shida yangu kubwa ni kwamba natafuta mtu mwenye kauwezo fulani ili adevelop kwa kurenovate jengo la ghorofa moja lililopo pahala pazuri kweli pana paking kubwa ya kupaki gari kumi mbele, kuna barabara safi ya lami
Jengo likikarabatiwa litawezwaa kuishi familia 4. Karibuni...
Habari za mida,
Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba pia kuna eneo la kuweza kutoa vyumba vitatu single.
Nyumba ipo Buguruni mtaa wa Azimio karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.