Najua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka.
Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka.
Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.