Karibuni wadau!
Naomba kuuliza kwa nia njema sana maana mimi pia nina uzoefu usajili wa makampuni, jina la biashara na taasisi mbali mbali.
Nina kiu ya kujua machache tu juu ya makampuni binafsi ya kufanya protocol kwenye event za serikali na taasisi zake.
Maswali yangu machache;
1. Je...