Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4.
Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped. Nahitaji kufungua biashara ya playstation hivi karibuni, mnanishauri nichukue ipi kati ya hizo?
KWA HUDUMA BORA YA MASUALA YA GAMES,KARIBU SANA SKYGAMES 0710701361
TUNACHIP NA KUWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 NA PS2.PIA KUNA PC NA XBOX GAMES NYINGI SANA ZA KUTOSHA.
FIFA14 PATCH 24 OFFICIAL KWA PC NA
PES 17 PATCH 24 KWA AJILI YA PC INAPATIKANA, 4GB RAM, 2GHZ PROCESSOR🔥🔥🔥
PIA PES 24 YA PS4 ZA...
Ps2 slim ikiwa na vifaa vifuatavyo
✓Waya wa moto mpya
✓Waya wa AV mpya
✓Memorycard mpya
✓Flash yenye game 10
Dar es salaam
Tsh 110k bei fixed
0692402211
#Ps2 fat zipo mbili zipo full kila moja ikiwa na flash yenye game 10
#ps2 moja ikiwa full bila tv ni Tsh 100k na TV ni Tsh 150k
#Zote nne ni yaani TV mbili na ps2 mbili Tsh 300k
#Hiyo TV nyeusi ni inch 29 ilibadilishwa mashine na hiyo silva ni inch 21 zipo vizuri hazisumbui
0692402211
Kigogo, Dar
Hamjambo, mimi si mjuvi kwenye mambo ya games ila mara nyingi nimekua napigwa kwenye pad za ps2 na ps3
Naomba mnisaidie jinsi ya kuzitofautisha pad imara za duka na fake
Na pia pad imara za mtumba na fake nimechoka kuibiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.