Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4.
Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped. Nahitaji kufungua biashara ya playstation hivi karibuni, mnanishauri nichukue ipi kati ya hizo?
PATA FIFA 14 PATCH 23 🔥 🔥 🔥
PES 17 PATCH 23🔥🔥🔥
KWA BEI POA KABISA UNAZIPATA GAMES HIZO KAMA MASHINE YAKO INA 4GB RAM ANGALAU CORE 3i ILA BEST ZAIDI IWE i5.
Pia
TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC PSP 0710701361 🔥🔥🔥
TUNAFIKA ULIPO KWA DAR NA PWANI 0710701361📞🔥🔥🔥
KWA PS4 NI 15000 KWA GAME KWA...
Habari za wakati huu wakuu,
Tunakodisha gaming consoles, bei ni kama ifuatavyo
15,000/= Kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 3 usiku,
10,000/= Kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 3 asubuhi,
30,000/= Kwa siku mbili
50,000/= Kwa wiki nzima
Wasiliana nasi (0777821973 AU +255 777 821 973)
Kutunza vifaa...
Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji).
Bei TZS 780,000/=
Comes with CD ya Fifa19
Mawasiliano: +255 752 998 891
Ninauza PS4 Slim (mpya), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji).
Bei TZS 900,000/=
Comes with CD ya Fifa19
Mawasiliano: +255 752 998 891
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.