pssf

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lonestar

    Kwa nini psssf inaajiri kwa kujuana bila kutangaza ajira wala kuwapa kipaumbele wanaojitolea?

    Toka mfuko wa psssf uuangane 2019 hujawahi tangaza ajira lakini kila siku wanakuja wafanyakazi wapya ambao hawajafanya interview sehemu yeyote naomba kufahamu mfumo wa kuajiri upoje au kigeso ni mpaka uwe na ndugu.pia nimeshudia tukio moja la vijana waliokuwa wanajitolea kutoka TAESA wote...
  2. Allen Kilewella

    Trump atawaumbua NSSF na PSSF

    Maelfu ya watanzania watakaokosa kazi kutokana na Amri ya Rais wa Marekani Donald Trupm, itawaumbua CCM jinsi wanavyoendesha serikali Kwa kutegemea kukopa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. Siku maelefu hayo ya watanzania watakapokwenda kuchukua fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii...
  3. A

    Nimeteuliwa kuwa msimazi wa mirathi, nimeambiwa hatutaweza kunufuika na mfuko wa PSSSF. Ni kweli?

    Nimeteuliwa kuwa msimazi wa mirathi wa Mali za mama mzazi, nilipofuatilia mafao yake (PSSF) nilijibiwa ya kuwa kama ameshapokea fao lake kustaafu pamoja na fedha za kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitatu baada ya kustaafu basi sisi watoto hatutoweza kunufaika na mfuko huo. Kinachonishangaza ni...
Back
Top Bottom