pugu

The Pugu Forest Reserve is a forest reserve in Pwani Region, Tanzania. It is located in the Pugu Hills area, near Dar es Salaam, adjacent to the Kazimzumbwi Forest Reserve. Together with Kazimzumbwi, the Pugu Forest (previously known as Mogo Forest) is part of what is considered to be one of the oldest forests in the world. The area is characterized by a large number of endemic species of animals and plants.

View More On Wikipedia.org
  1. Manka R

    APARTMENT FOR RENT 300K PUGU KIGOGO - NO DALALI FEES

    FEATURES....... VYUMBA VIWILI KIMOJA MASTER SEBULE, JIKO PUBLIC TOILET NDANI YA FENSI PAVING BLOCKS NYUMBA MPYA INAJITEGEMEA UMEME, MAJI.... Inbox pls only serious buyer
  2. Mzee wa Code

    KERO Wakazi wa Pugu, Kinyerezi na Viwege tunalaza magari barabarani kutokana na ubovu wa miundombinu

    Sisi Wakazi wa maeneo ya Viwege na Pugu Kinyamwezi, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam tumekuwa na changamoto ya kuwa na barabara mbovu, ikinyesha mvua ndio kabisa hali inazidi kuwa mbaya kuliko maelezo. Barabara za mitaani kwetu zimeharibika vibaya, hali inayotulazimu kulaza magari mbali na...
  3. Kasri Homes Tz

    Plot4Rent Pugu Industrial: 460 Sqm Warehouse For Rent - Dar

    • Direction: Tazara near Mfugale • Warehouse Area: 460 sqm • Rent: USD 2,300/month (payment in TSH is accepted) • Terms: 12 months • Brokerage fee applies • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ iko eneo la viwanda ✓ kuna ofisi ✓ kuna uzio na parking ✓ maji na umeme wa kiwandani vipo ✓ panafaa kwa...
  4. themagnificient

    Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

    Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni...
  5. Yoda

    SGR inapakia abiria wa Dar kushukia pugu na kuna malalamiko ya kukosa tiketi!

    Hii imekaaje kwamba SGR inapakia abiria wa kutoka Dar kushukia Pugu halafu kuna watu wanaolalamika kukosa nauli za Dar kwenda Morogoro na Dodoma! Dar Kwenda Pugu si kuna ile treni ya Mwakyembe na Daladala? TRC inaelewa kweli inachokifanya? Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria...
  6. Manka R

    Je, unahitaji chumba/nyumba ya kupanga Pugu au Kinondoni, Dar es Salaam?

    Kwa mahitaji ya haraka ya Chumba/ Nyumba ya kupanga maeneo ya Pugu/Kigogo fresh na maeneo ya Kinondoni wasiliana na 0785825442
  7. Manka R

    NYUMBA YA VYUMBA VINNE - PUGU KIGOGO FRESH 150,000x4 -0684223374

    Gari inafika sebule, dinning, etc
  8. Manka R

    House4Rent Kodi 150,000/=

    Ipo Pugu kigogo fresh, Nyumba ina vyumba vinne vya kulala, sebule, dinning, jiko, choo&bafu ndani 0684223374
  9. Mad Max

    Ukichoka na Mishe za Mjini Dar, Kajipumzishe Pugu “Ushoroba”

    Mambo vipi wazee? Kuna pahala panaitwa Pugu Kazimzumbwi alhamarufu Ushoroba. Ni pazuri sana kwa mkazi wa Dar au Pwani anaetaka kupumzika siku moja au weekend kuzipisha kelele za bodaboda, bajaji, magari, wauza sumu ya mende, etc. Nimeenda mara kadhaa na weekend hii pia nilienda. Utangulizi...
  10. Manka R

    Nyumba/vyumba vinapangishwa Pugu Kigogo

    Hakuna dalali: Chumba na master yake na baraza nje - 100,000/= kwa mwezi kodi miezi 6. Nyumba ya vyumba vinne, choo na bafu ndani jiko sebule kubwa, dining baraza kubwa mbili - 250,000/= kwa mwezi. Zote zipo eneo moja, barabara ipo pande zote, maji ya kisima yapo nje pia choo cha public kipo...
  11. M

    Shule ya msingi, Mikongeni iliyopo Pugu ni mfano mzuri wa shule zote za msingi za serikali zinavyopaswa kuwepo zama hizi

    Video inaonesha na kueleza vizuri shule ya msingi Mikongeni, ambayo ni Shule ya Msingi ya Umma (Inamilikiwa na Serikali) yenye Mchepuo wa Kiingereza. Shule ni nzuri kwa miundombinu yote. Hata hizi shule za binafsi tunazowapeleka watoto wetu wa kisasa kina Juniour na kulipishwa ada milioni...
  12. Roving Journalist

    Polisi yachunguza tukio la Watu watatu kuuawa baada ya kudaiwa kuiba Bodaboda eneo la Pugu

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mauaji ya watu watatu lililotokea tarehe 7 Februari, 2024 majira ya saa 9 (tisa) usiku huko eneo la Pugu Kisumo Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam. Watu hao waliouwawa na kundi la watu kwa kuwashambulia na silaha za jadi, wanadaiwa...
  13. L

    Ni Kipi Chanzo cha Moto Bweni la Watoto Shule ya Msingi Green Hill Pugu Kajiunge Dar es Salaam?

    Moja ya Bweni la shule ya Msingi ya green hill iliyoko Pugu Kajiungeni,Ilala Dar es Salaam liliungua moto tarehe 9.01.2024 (Siku moja naada ya kufungua shule) na baadhi ya wtoto kujeruhiwa vibaya, Hatujasikia vifo. Ila hakuna taarifa ya chanzo cha moto huo na pia taarifa kamili ya athari...
  14. Twilumba

    Hotel au Lodge nzuri maeno ya Ukonga, Gongo la Mboto hadi Pugu

    Habari za humu Jumba la Melo! Ninatarajia kupata mgeni kesho Ijumaa hii akitokea kusini kwa kina Miso Misondo. Mgeni wangu amehitaji hotel au lodge nzuri maeneo ya Ukonga, Gongo la Mboto au Pugu, anahitaji hotel au lodge kwenye eneo mojawapo ya hayo lkn kuwe na utulivu kiasi cha kuweza...
  15. Joannah

    Serikali hamisheni dampo la Pugu Kinyamwezi

    Viongozi wenye dhamana katika hili,nawasalimu! Jana jioni mida ya saa moja nilipita mitaa ya PUGU KINYAMWEZI, nilistushwa na moshi uliotanda kwenye mazingira Yale nyumba zote zimezingirwa na moshi mithili ya ukungu wa usubuhi kwenye safu za milima ya Uluguru. Kiukweli, mimi tu mpita njia Tena...
  16. Concoo

    Natafuta kiwanja kuanzia pugu kuelekea town

    Natafuta kiwanja kuanzia pugu kuelekea town kama ukonga ivi kwa ajili ga ujenz wa nyumba ....niinbox au tunawez aelekezana hapa
  17. Mwamuzi wa Tanzania

    Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

    Habari! Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo. Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana. Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia? Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi...
  18. mfichuamambo

    Kwanini Pugu ni mji wa zamani lakini haukui?

    Pugu ni maarufu tokea uhuru na hata kipindi cha ukoloni ilikuwepo. Lakini huu mji au hilo eneo halikui kabisa au kuendelea kama maeneo mengine ya Dar Es Sallam Yaani Pugu ni ile ile ya siku zote hadi leo bado viwanja vipo Pugu nashindwa kuelewa ni kwanini Pugu haikui Watu wako radhi waende...
  19. Bensoy

    Natafuta mshirika kuanzisha learning center eneo la Pugu, Dar es salaam

    Salamu wapendwa. Ninatafuta partner ambaye yupo tayari kuwekeza pamoja nami kuanzisha learning center eneo la Pugu Kajiungeni Dar es salaam. Jengo ninalo na liko centre nzuri Pia nina waalimu wa somo la kiingereza kifaransa. Waalimu wa nursery na baby care sio shida kuwapata. Nimeshaanza...
  20. Ugumu wangu

    Pwani: Utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, umekithiri

    Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wameiomba kamati ya ulinzi na usalama kukomesha matukio ya utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, ambapo Julai hadi Agosti maiti sita zimekutwa kwenye msitu huo. Chanzo: East Africa TV
Back
Top Bottom