Hivi ukienda kujaza mafuta sheli iwe diesel au petrol au mafuta ya taa,hivi kwenye ile mashine[pump yenye mpira na gang anayowekwa kwenye chombo ili akipress mafuta yatoke,hapa
Swali ni je! Yale mafuta yako kwenye mpira pale au yako kwenye gang pale kichwani kabisa au ukipress yanatoka kwenye...
Wakuu hii nchi ingekuwa na watu kama huyu proton pump aisee nchi ingesonga mbele itoshe kusema huyu jamaa ngoja nimpe maua yake hata kabla hajafa mwisho nakaonekana mnafiki jamaa ana madini sana Aisee hatari kiukweli kupitia yeye 90 percentage ya matatizo yangu yanaenda kupona!
Shukrani Sana...
REQUEST FOR TENDER
North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
MRADI WA MAJI SAME - MWANGA 90% YA UTEKELEZAJI, AWESO AWASHA PUMP KUSUKUMA MAJI KWENDA TENKI LA MWISHO.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametembelea na kukagua mradi wa maji Same Mwanga Korongwe ambao umefikia asilimia 90 ya utekelezaji wake ambapo ameshuhudia mifumo ya kutibu maji imekamilika...
Furahia umeme wa nishati ya jua (Solar Energy) kwa gharama nafuu ambazo zitakupunguzia ulipaji wa bili kubwa za umeme,utumiaji mkubwa wa mafuta kwa ajiri ya uendeshaji wa pump za maji.Karibu tukufungie Automatic Power Backup System,Solar Pumping System za gharama nafuu kabisa.
Tunapatikana...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili Nerbat Bwiga (33) mkazi wa Ifumbo na Isaya Zumba (38) mkazi wa Airport Songwe kwa tuhuma ya kupatikana na silaha bunduki moja aina ya Shotgun Pump Action bila kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 15, 2024 Kamanda wa Polisi...
Wadau wa kilimo naomba ushauli ninashamba la mapunga liko kati ya mita 6000 Hadi MITA elf 1 ,je pump zipi ninunue?JE petrol nch 3 hadi 4 au pump ya diesel nchi ya Bomba la nchi 3 u nne au unavyoona inafaa
Position: Solar Water Pump Engineer with Water Filtration Experience
Location: Arusha, Tanzania
Position Type: Full-Time
Reports to: Managing Director
Responsibilities:
Solar water pumping system design: use third party software to design solar water pump systems using Lorentz COMPASS...
Habari za leo wakuu,
Nimenunua pedrollo 0.5 hp
water pump kwa ajili ya
matumizi ya kujaza maji
kwenye matenki ya matumizi
madogomadogo hapa
nyumbani lakini kila nikiwasha
na nikifanya primming naona
bado haiwezi kupandisha maji,
Yeyote aliyewahi kukutana na
changamoto kama hii...
Je, unatafuta muuzaji wa water pump Tanzania? National commercial Directory ndio mahali pa kwenda! Tuna orodha kamili ya wauzaji na wasambazaji wa water pump nchini Tanzania. Unaweza kuchuja matokeo yako kwa eneo, aina ya pump, na bei. Pia unaweza kusoma hakiki za wateja ili kupata muuzaji bora...
Tuna pampu ndogo hadi kubwa za kutoa lita 30,000 kwa saa.
Bei.
Surface pump na submersible 0.5hp lita 2000kwa saa. complete tsh 700,000.
2hp ya kudmbukiza lita 8000 kwa saa, mita18head tsh 2,300,000
2hp ya surface lita 30000 kwa saa Tsh 3,000,000. zipo pia za mita hadi 150.
0747591578...
Wadau ninashamba la ekari 50 ukanda wa ziwa victoria Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji WA mahindi na mpungu wakati wa masika na kiangazi.
Shamba Kikimit 700 800 kutoka ziwani.
Je, wazoefu nitumie aina gani ya pump naomba na ushauri na specifications Kwa pump za solar dizek na petrol.
Wakuu habari za ijumaa ya leo naimani tuko salama humu ndani.
Kama kichwa kinanavyojieleza hapo naomba kama kuna mtaalamu wa solar atupe elimu kidogo, kuhusiana na aina gani za Solar ni orginal na je naweza kufunga panel ngapi ambayo zinaweza kusukuma mashine ya maji kwa wingi kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.