Zifuatazo ni faida chache walizonazo Wagonjwa wote wa Pumu ( Asthma ) duniani
1. Wengi wao huwa ni Werevu sana
2. Wataugua Magonjwa yote ila kamwe hawatapa UKIMWI ( Dally Kimoko )
3. 99% huwa au huja kuwa Matajiri sana kwani Kiasili huu ni Ugonjwa wa Kitajiri na Matajiri
4. Katika Mapenzi...
Habari za muda wakuu!!!
Jmani naomba msaada kwa anaejua dawa ya kienyeji ya PUMU ya ngozi.
Mwanangu anasumbuliwa sana nahuu ugonjwa, nimeshampeleka MUHIMBILI, EKENYWA, REGENYCY na tukapewa dawa na mafuta ya kupaka ya EPIMAX JUNIOR. Anapona kwa muda ila baadae inaanza tena.
Naombeni ushauri...
Salaam,
Natumai wote mmeamka salama.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika je unasumbuliwa na Pumu? Basi inawezekana leo upo mahali sahihi pa kupata tiba ambayo inaweza ondoa kabisa hilo tatizo lako na ni tiba isiyohusisha madawa ya hospitalini, bali chakula tu.
Chukua kweme, kwa...
Habarini za uzima wakuu, rejeaa mada husika hapo juu.
Kumekuwa na misemo mingi inayozungumzia athari za uzinzi ,mmojawapo ni "uzinzi gharama".
Masaa mawili au chini ya hapo Leo tarehe 30 05 2021, roommate wangu kakoswa koswa na balaa la kufiwa na mtoto wa mwenyewe room kwetu.
Ilikuwa majira...
Pumu au ‘asthma’ ni moja kati ya magonjwa hatari sana yanayoathiri mfumo wa upumuaji ambao huathiri takriban watu million 130 duniani kote. Ingawa hakuna sababu ya moja kwa moja ya kupelekea kupata ugonjwa huu, utafiti umethibitisha ya kuwa ugonjwa huu hutokea kutokana na sababu kuu mbili, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.