Sasa ndiyo Nini kumpanga kipa namba tatu gem ya mtani kama siyo dharau?
Eti unampanga Mzee Nyoni pale kati huwaogopi kina azizi ki aucho kina msondongoma jamani[emoji23][emoji23] halafu tulishawaambia Mzee onyango ni uchochoro Toka gem za raja ila mnatupuuza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...