Jumatano ya 24th July 2024, ndege vita 4 zinazojulikana kama nuclear bombers za China na Russia ziliingia kufanya "strategic patrol" au "doria ya kimkakati" eneo la Alaska Air Defense Identification Zone (AADIZ) katika bahari ya Bering karibu na pwani ya Alaska Marekani.
Ndege 2 za China...