quran na biblia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Allen Kilewella

    Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

    Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina. Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani? Quran na...
  2. Kaka yake shetani

    Kwenye Quran inapotosha kusema ilishushwa kutoka mbinguni wakati kilichokwenda kuchukuliwa ni amri kumi tena kwa mawe

    Leo nimeona mijadala fulani ila ilikua inajenga maelezo kuhusu vitabu vyote viwili biblia na Quran, ukiangalia vitabu vyote vimeeleza matukio na historia na wala sio yaliyoshushwa kama wasemavyo. Sababu inayokazaniwa ni kwamba Mungu kuona adhabu kila akizitioa aliona bora kuandika amri kumi tu...
  3. matunduizi

    Usipoweza kuutoa Uzungu kwenye Ukristo na Uarabu kwenye Uislam, huwezi kumjua Mungu

    Kwa wakristo angalau watakuwa na kazi nyepesi kuliko waislam katika hili. Mungu ni Mungu wa binadamu wote. Ili umuelewe vizuri na umfaidi inabidi utoe uarabu na uzungu kwenye Biblia na Quran ndio angalau utaanza kumfaidi. Mungu sio wa wazungu, hata wao walikuwa wanaabudu mapangoni kama...
Back
Top Bottom