Wanabodi,
Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni...
Katikati ya mwaka huu yaani 2023 mwezi wa sita nilikwenda hospitali ya Aga Khan iliyopo Sea View Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu, kama taratibu zilivyo niliwasilisha kadi yangu ya bima ya afya ilipokelewa na nikapewa jibu kuwa siwezi kutibiwa kwenye hospitali hiyo!
Haikuwa shida kwangu...
PS. I am Tanzanian
Tanzanians may be the most racially insecure and racially ignorant black people on this planet.
a few days ago a prominent Tanzanian celebrity posted a picture a a black Kenyan lady.
The amount of disgusting colourist (racially) charged comment simply shameful.
Even...
Just for curiosity, wewe unaonaje kungelikuwa na scenario kama hiyo! 87% ni Weusi na 13% wazungu, je weusi wangeliwabagua wazungu au Racism is not determined by majority numbers?
📷: Demonstrators protest Saturday, June 6, near the White House in Washington, over the death of George Floyd, a black man who died in police custody in Minneapolis after being restrained by Minneapolis police officers.
👉People are taking to the streets of Washington Saturday for what is...
No doubt, there is still racism in the west.
The effects of slavery and colonialism still exist on how racial relationships take place in the west especially the United States of America. There are racists in those countries who would love to see their countries go back to the way of lives 200...
Tokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika.
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.