Radi (or Radhi) is a town in Trashigang District in eastern Bhutan.Radi is a town located in the northern part of Trashigang. It is popularly known as the rice basket of the east. Following the royal decree, Bhutan became a democracy in 2008. Jigme Tshultrim is the first Member of Parliament from the Radi-Sakteng constituency which comprises four gewogs (blocks) named Radi, Phongmey, Merak and Sakteng. At the national assembly, Jigme Tsheltrim holds the post of the speaker.
Radi has a middle secondary school, a basic health unit, a gup (head of the local government), and an animal husbandry office. The area where the school is located is commonly known as fai singma, which means "a new house". This name was derived from when the school building was new in 1960s.
Today, the gewog is connected by roads to almost all its villages and also to the neighbouring gewogs. The gewog was electrified from the Rangjung mini hydro power plant in 1998.
Rice is the main staple of food in Radi, but maize and other vegetables are also grown. However, paddy cultivation is solely dependent on monsoon rain which usually begins in June.
Najiuliza itawezekana kweli iwe zipo tu kwa ajili ya kutuhangaisha sisi waogopa radi?!!! Kwamba inajisikia Raha tu kutuona tukikimbilia vunguni mwa vitanda Kila zinapopiga?!!
Hapana, lazima zitakuwa na sababu na uhusiano mkubwa na mvua. Elimu yenu tafadhali 🙏🙏
Wanajamii forum naomba kujua je NIKWELI MIONZI YA SIMU HUVUTA RADI KIPINDI CHA MVUA?
kumekua na uvumi kua matumizi ya simu kipindi Cha mvua na radi ni hatari na inaweza kusababisha kupigwa na radi je ni kweli maana kuna watu kipindi Cha mvua hawapatikani kwenye simu wakisema mvua na radi ni...
Habari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au...
Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi, nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi JamiiForums kwa kutumia internet ya router ya YAS.
Huku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama...
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.
Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.
Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi...
Geita, Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=vUhvYl7Mfww
Wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda, wilayani Bukombe wapoteza maisha huku 73 wakijeruhiwa nchini Tanzania
Tukio hilo lilitokea jana Januari 27,2025 baada ya mvua kubwa iliyoambatana na radi kunyesha wilayani humo wakati...
Watu watano wa Familia moja Wakazi wa Kitongoji cha Nkangi kilichopo Kijiji cha Isangawana, Kata ya Matwiga, Tarafa ya Kipembawe, Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamefariki dunia kwa kupigwa na radi usiku wa kuamkia leo December 29,2024 wakiwa wamelala.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin...
Jana,katika Mkoa wa Rukwa watu wawili wameuawa kwa kupigwa radi walipokuwa shambani baada ya mvua kunyesha kidogo mchana kweupe.
Shuhuda mmoja wa hili tukio amesema,"Kama yupo mtu yoyote aliyefanya hiki kitendo,anapaswa kuona aibu. Angalia watu wote hawa wanavyolia!"
Waliokufa ni mama na mtoto...
Video ikionesha radi ikipiga jengo la Makkah Clock tower.
Wakuu hii ina maana yoyote katika matukio ya siku za mwisho?
adriz
Maghayo
Kosugi
https://x.com/BRICSinfo/status/1828454013852905681?t=nDRuVs0Jjy6m0hj2bGc7HA&s=19
Hii game imesimamishwa kwa sababu ya Radi. Dakika 21'
Weather conditions cause a suspension of play.
The referee brings play to a halt and signals for both teams to head to the changeroom with the increased lightning around the stadium.
Game imeendelea baada ya Hali ya Hewa kukaa sawa
Hadi...
Juzi jumamosi mida ya asubuhi mvua ilinyesha Dar na around saa tatu hivi ikapiga radi moja kubwa sana kwa wanaokaa pande za goba, mbezi,tegeta A, Msumi, Makabe etc. wataelewa ninachosema.
Radi ambayo ilipelekea umeme kukatika kwa dakika chache tu ila tayari ilikua imeshafanya uharibifu kwenye...
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto...
Wananchi wa Kalebezo kata ya Nyarubungo Wilaya ya Biharamulo, wakigawana kitoweo baada ya maafa ya radi kuua ng'ombe 16, mali ya Richard Daudi.
Ajali hiyo ilitokea Januari 13 mwaka.
WATU wawili wakazi wa Kitongoji cha Salawe A, Kijiji cha Salawe, Kata ya Ubagwe, Halmashauri ya Ushetu, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi nyumbani kwa mwenyekiti akiwasuluhisha mgogoro uliokuwa ukiwakabili.
Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwenyekiti...
Hivi hawa wazee wa chipsi Nyingi na mayonaizi ya kutosha radi kidogo mpaka mnafungulia Uzi? Hivi hizo radi kidogo mnalala uvunguni kweli? Ndio maana wavuta bange panya road wanawakimbiza Kila siku, hivi mlishafika mji wa vidono Kigoma?
Watu wa Dar hizo flash hazina hata madhara kwa sababu huo...
Hizi radi aisee ni balaa.
Nmeikaribisha weekend na mtoto mkali ila usiku ukawa mrefu mno kidogo tuache doggy tupige magoti kuanza kusali.
Yaani ngoma zinapigia dirishani hadi mashine ikasinyaa kabisa nikadhan ndo mwisho wetu pale. Hali imekuja kutulia nikapata usingizi mmoja asubuhi mtoto...
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam, mtu mmoja amefariki Dunia kwa kupigwa na radi maeneo ya Kimara.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamishna Msaidizi (ACP) Mtatiro Kitinkwi amethibitisha kutoka kwa tukio hilo katika mvua iliyonyesha juzi Machi 22, 2023, taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.