Akiongea kwenye kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM, leo January 25, 2023, Koplo Donansia Nkwai kutoka Jeshi la Zima Moto na Uokoaji (Iringa) amesema hakuna uhusiano wowote uliopo kati ya radi na nguo nyekundu.
Aidha, ikiwa utakuwa kwenye eneo la wazi wakati radi inapiga, unashauriwa...