Habari zenu wadau,
Pamoja na habari hii mimi nimekuwa mtu wa kufuatalia sana masuala ya uchumi ambapo ndio kada yangu niliyobobea ingawa si kwa kiwango kikubwa saaaana.
Mwaka jana, kuliibuka kamari/bahati nasibu ambazo binafsi sikuelewa msingi wake hasa ni nini.
Bahati nasibu hizi...