Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani.
Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case.
Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki...