Raheem Shaquille Sterling (born 8 December 1994) is a professional footballer who plays as a winger and attacking midfielder for Premier League club Chelsea. Born in Jamaica, he represents the England national team.
Born in Jamaica to Jamaican parents, Sterling moved to London at the age of five. He began his career at Queens Park Rangers before signing for Liverpool in 2010. He was awarded the Golden Boy award in 2014. In July 2015, following a lengthy dispute over a new contract, he was signed by Manchester City in a transfer potentially worth £49 million, the highest transfer fee ever paid for an English player at the time. He went on to help Manchester City win back-to-back Premier League titles in the 2017–18 and 2018–19 seasons. In the 2018–19 season, he was named to the PFA Premier League Team of the Year and won the PFA Young Player of the Year and FWA Footballer of the Year.
Sterling made his senior debut for England in November 2012 after previously being capped by England youth teams at under-16, under-17, under-19 and under-21 levels. He was chosen in England's squads for the FIFA World Cup in 2014, 2018 and 2022, and the UEFA European Championship in 2016 and 2020.
Hat-trick ya Bruno Fernandes dhidi ya Real Sociedad ni ya kwanza kwa Manchester United katika Michuano ya Ulaya tangu Marcus Rashford alivyofunga vs. RB Leipzig (2020), pia ni ya kwanza Europa League tangu Zlatan alivyofunga vs. St-Etienne (2016)
Raheem Sterling ni Mchezaji wa Kwanza wa...
Winga wa Manchester United amekamilisha usajili wa mkopo wa msimu mmoja kwenda Chelsea, mkataba ukiwa na sharti la kuwa wanaweza kumsajili kwa Pauni Milioni 23 ikiwa ni miaka mitatu tangu United ilipomnunua kwa pauni Milioni 73 kutoka Borrusia Dortmund.
Upande mwingin, Raheem Sterling wa...
Inaweza kukushangaza kiasi lakini huo ndio uhalisia, licha ya kuongoza kwa kufunga magoli 17 katika Premier League 2023/24 hadi sasa, takwimu zinaonesha Mshambuliaji wa ManchesterCity, Erling Haaland ameotea mara moja tu katika dakika 1,745 alizocheza, anayeongoza kwa kuotea ni Darwin Nunez wa...
Mshambuliaji wa Chelsea, Raheem inadaiwa amekataa ofa ya kwenda kucheza Soka Nchini Saudi Arabia ambapo aliahidiwa kulipwa takribani mara tatu ya kiasi anacholipwa kwa sasa.
Ikiwa angekubali ofa hiyo angeweza kuwa mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi katika Ligi ya 'Saudi Pro...
Mzuka wanajamvi!
Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi.
Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje mmatumbi akapewa Tuzo hiyo kubwa kwenye mpira?
FIFA ilimnyima waziwazi Samuel Etoo hii tuzo. Etoo...
Licha ya kuwa alijiunga na klabu hiyo mwanzoni mwa msimu huu akitokea Manchester City kwa Paundi Milioni 50, Sterling (28) na kusaini mkataba wa miaka mitano, ameshindwa kuwa na uhakika katika kikosi cha kwanza.
Amefunga magoli manne katika mechi 15, hali inayoonesha Chelsea inahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.