rai

RAI – Radiotelevisione italiana (Italian pronunciation: [ˈrai ˌradjoteleviˈzjoːne itaˈljaːna]; commercially styled as Rai since 2000; known until 1954 as Radio Audizioni Italiane) is the national public broadcasting company of Italy, owned by the Ministry of Economy and Finance. RAI operates many terrestrial and subscription television channels and radio stations. It is one of the biggest broadcasters in Italy competing with Mediaset, and other minor radio and television networks. RAI has a relatively high television audience share of 35.9%.RAI broadcasts are also received in surrounding countries, including Albania, Bosnia, Croatia, France, Malta, Monaco, Montenegro, San Marino, Slovenia, Switzerland, Serbia, Tunisia and the Vatican City, and elsewhere on pay television and some channels FTA across Europe including UK on the Hotbird satellite. Half of RAI's revenues come from broadcast receiving licence fees, the remainder from the sale of advertising time. In 1950, RAI became one of the 23 founding members of the European Broadcasting Union.

View More On Wikipedia.org
  1. Tman900

    JWTZ wanapendwa sana na raia

    Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania. Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ. Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao. Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara...
  2. Stephano Mgendanyi

    Juliana Masaburi Atoa Rai Ofisi ya Waziri Mkuu, Mifuko 71 Iwafikie Vijana Mikoani na Wilayani

    JULIANA MASABURI ATOA RAI OFISI YA WAZIRI MKUU, MIFUKO 71 IWAFIKIE VIJANA MIKOANI NA WILAYANI Akizungumza katika Kongamano la Fursa za Kiuchumi kwa Vijana Mkoani Mara Wilaya ya Tarime lililofanyika tarehe 14 Novemba, 2024 katika Ukumbi wa CMG, Mbunge wa Viti Maalum Vijana Tanzania, Mhe. Juliana...
  3. K

    Rai Kwa Yanga kuwakemea Baadhi ya Wachezaji, Nidhamu ni Tatizo

    Hii ni Rai kwa wanywa 'thupu' Yanga kuwakemea baadhi ya Wachezaji kwani nidhamu inaonekana ni Tatizo Hili ni angalizo La Mapema kwa Yanga. Eneo La nidhamu Limeonekana kulegalega katika Michezo ya hivi karibuni kwa baadhi ya Wachezaji wameonyesha Kiwango cha chini Sana cha Nidhamu. Jambo hilo...
  4. Thabit Madai

    Makamu wa Kwanza wa Rais Othman Masoud atoa rai kwa ZLS kusimamia haki za wananchi

    Makamu wa kwanza wa rais Othman masoud amekitaka chama cha wanasheria Zanzibar (ZLS) kusimama imara kutetea haki za wananchi zinapovunjwa hasa katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Tamko hilo amelitoa wakati akifunguwa mkutano mkuu wa mwaka chama hicho uliofanyika visiwani Zanzibar na...
  5. R

    Nilitoa rai kwa wanaharakati na chadema kuwa waambie ulimwengu hivi kuhusu kupewa rasilimali zetu na Watawala kama walivyofanya wakenya. Soma bango

    na kwetu hili linatufaa kuimbia dunia, kesho tukiwafukuza wasione tunavunja sheria za mikataba ya kimataifa!
  6. Determinantor

    Ongezeko la kuvunjika Ndoa, natoa RAI kituo Jumuishi cha Taifa cha Familia - Temeke kichunguzwe

    Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake. Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao...
  7. J

    UWT yatoa rai kwa wanawake kujitokeza kwa wingi katika ushiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani

    "Historia ya sifa ya wanawake na siku ya wanawake Duniani inajulikana ambayo ni kesho tarehe 8 Machi na hii ni njia ya kuendelea kuhamasishana katika kufanya kazi na kupeana nguvu ya kuinuana kiuchumi." "Tunaomba rai kwa wanawake wote mjitokeze kwa wingi kwenye maadhimisho haya katika Mikoa...
  8. Stephano Mgendanyi

    Wananchi wapewa rai kujitokeza kupima kwa hiari VVU

    WAZIRI MHAGAMA: JITOKEZENI KUPIMA VVU KWA HIYARI Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupima VVU kwa hiari ili kujua hali zao ili kuendelea kuishi kwa kuzingatia matokeo, kwa wale ambao hawatakutwa na maambukizi ni nafasi kwao kuendelea kuishi ili wasiambukizwe na wale ambao...
  9. K

    Rais Ruto atoa kauli tata katikati ya kutekwa kwa billionea wa kihindi

    katika kile kinachoonekana kama copy & paste ya njia zilizotumiwa na shujaa wa chato katika kukabiliana na matajiri wanaotumia nguvu ya fedha kujimilikisha mali za waafrika wajinga,Rais wa taifa la Kenya,dokta Ruto ameomekana kufurahishwa na kitendo cha kutekwa kwa billionaire wa Kenya mwenye...
  10. Nyendo

    Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya TEHAMA: Natoa rai kwa ambao wana ubunifu unaohusika na TEHAMA watuone

    Vijana wana uwezo mkubwa sana wa kubuni, nawasifu sana na wanajituma, kazi yetu kubwa ni kuhakikisha kwamba kwanza tunazitambua hizo bunifu zao" "Natoa rai kwa ambao wana bunifu ambazo zinahusika na TEHAMA watuone, ili tuweze kuwapa ushauri zaidi, watu ambao wana mitaji na wapo tayari kusaidia...
  11. Ojuolegbha

    Dkt. Pindi Chana atoa rai kwa wawekezaji kuwekeza katika michezo

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ametoa rai kwa Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika michezo ikiwemo ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya viwanja vya michezo. Mhe. Dkt. Pindi Chana ametoa rai hiyo Machi 5, 2023 jijini Arusha wakati wa mbio za...
Back
Top Bottom