Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameingia madarakani kufuatia kifo cha Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye aliacha miradi mingi mikubwa ambayo kukamilika kwake kungeiweka Tanzania katika ramani nyingine ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na Bwawa la uzalishaji umeme la Nyerere (JNHPP) mto...