Wadau hamjamboni nyote?
Habari njema sana
Joseph ndiye Rais mpya Lebanon akichaguliwa kwa kura 99 kati ya 129
Amehudhuria mafunzo maalumu ya kijeshi ya kupambana na ugaidi nchini Marekani mwaka 2008
Mgombea anayeungwa mkono na magaidi ya Hezbollah amejitoa kwenye uchaguzi baada ya kuona...