rais korea kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aachiwa huru baada ya kuwa mahabusu kwa siku 52

    Wakuu, Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, aliachiwa huru Jumamosi baada ya kushikiliwa kwa siku 52, baada ya upande wa mashtaka kuamua kutokata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama uliobatilisha kifungo chake siku ya Ijumaa. Yoon alikamatwa Januari 15 na kufunguliwa rasmi mashtaka Januari 26...
  2. Rais Yoon wa Korea Kusini amekamatwa na Polisi kwa jaribio lake la kutangaza hali ya hatari (martial law)mwezi Desemba

    Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol amekamatwa kwa jaribio la kutangaza sheria ya kijeshi. Tukio hili linaashiria mara ya kwanza katika historia ya Korea Kusini ambapo rais aliyeko madarakani amekamatwa Yoon anakabiliwa na mashtaka ya uasi na ufisadi kutokana na tangazo lake la sheria ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…