rais magufuli aongenezewe muda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?

    Baada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya uchaguzi kulizuka mjadala bungeni wa kuwa rais Magufuli aongezewe muhula wa uongozi. Mbunge wa Makambako...
  2. Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aongezewe muda wa kutawala

    Nafuatilia kampeni za Uchaguzi Mkuu, sina shaka yoyote kuwa upinzani haujawa tayari kupewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi hii. Kwa sababu kuu zifuatazo, Bunge la kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu, lipitishe kwa kauli moja, pasiwe na uchaguzi wa Rais hadi 2030. Kwa maana hii Rais Magufuli aendelee...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…