Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa kauli yenye utata kuhusu Afrika, akisema, “Afrika ni makaburi kwa Waafrika. Inawezekanaje makaburi yakastawi?”
Putin ameeleza kuwa Waafrika waliofanikiwa huweka fedha zao Uswisi, hupata matibabu Ufaransa, huwekeza Ujerumani, hununua bidhaa Dubai, hutumia...