rais samia korea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Tofauti ya mapokezi Korea ya Rais Samia na ya Mfalme wa Falme za Kiarabu (UAE)

    Rais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea...
  2. Nyani Ngabu

    Na wao hulipwa posho za per diem?

    Hii picha imenichekesha sana 🤣. Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana? Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku? Tumeambiwa kuwa...
  3. Kinyungu

    Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

    Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30. Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana. Sasa sielewi...
  4. BARD AI

    Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

    Serikali ya Tanzania inatarajia kusaini Makubaliano ya Mkopo wa Riba Nafuu wa takriban Tsh. Trilioni 6.51 kutoka Serikali ya Korea Kusini kupitia ziara itakayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 31, 2024 nchini Korea Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, mkopo huo utakuwa wa miaka 5...
Back
Top Bottom