rais samia morogoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bila bila

    Pre GE2025 Mnaorekebisha kauli za Rais na kusema amenukuliwa vibaya safari hii mmechelewa sana, wanaostahili walipwe fidia zao

    Imekuwa kawaida Sasa Mh Rais au viongozi wa chini yake wanapotoa kauli tatanishi, za kukera au zilizo kinyume na sheria au hata katiba ya Nchi, huwa kunajitokeza wapambe kufafanua na kusema Rais kanukuliwa vibaya utadhani wao ndo wana hatimiliki ya uelewa. Pia soma Rais Samia: Mnaotudai fidia...
  2. Superbug

    Ziara ya Rais Samia Morogoro imefana sana, CHADEMA njooni mbomoe hii ngome ya CCM

    Nimefuatilia ziara ya Mh Rais Samia katika mkoa wa morogoro kwa umakini hii ziara imefana na hii ni kutokana na hulka ya rais samia kutokuwa mtu wa makeke na kuharas watumishi wa uma ambao kwa hapo morogoro wanamuunga mkono sana. Rai yangu kwa Chadema rais akindoka njooni Morogoro. Lissu aje...
  3. Roving Journalist

    Rais Samia: Tumetafuta zaidi ya Dola Milioni 300 zitakazokarabati Barabara zilizoharibiwa Mvua nchini

    Akizungumza wakati akiendelea na ziara yake Mkoani Morogoro, Rais Samia amesema mbali na uzinduzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Mkoa huo, amefika pia kujionea hali ya Miundombinu ya Barabara iliyoharibiwa kutokana na Mvua za El Nino zilizonyesha kuanzia mwaka 2023. Rais amesema...
  4. J

    Rais Samia: Serikali tuna Mpango wa Kufungamanisha Reli ya SGR na Reli ya Tazara Ili kurahisisha Usafiri wa Watu na Usafirishaji Bidhaa

    Rais Samia Suluhu Hassan Serikali amesema Serikali ina mpango wa kuzifungamanisha huduma za Usafirishaji wa Treni za Reli ya TAZARA na za Reli ya Kisasa za SGR ili kuongeza ufanisi na kurahisha Usafirishaji nchini. Rais Samia amesema hayo akiwa Mikumi mkoani Morogoro katika muendelezo wa ziara...
  5. GENTAMYCINE

    Rais Samia anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti

    Rais Samia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu. Akitoa taarifa ya ziara ya Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amesema ziara hiyo itaanza Agosti 2- 7 mwaka huu. Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa huyo...
Back
Top Bottom