Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.
Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.
Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa...
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka machifu nchini kote kujenga mvuto ili watu wakimbilie kwao wanapokuwa na migogoro badala ya kila kesi kupelekwa polisi na kisha mahakamani.
Amesema ili jamii iwakimbilie ni muhimu wajenge mazingira ya uadilifu, uaminifu na kutenda haki na kwamba anaamini jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.