rais samia na machifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nani kamdanganya Rais wetu kwamba Machifu ni viongozi wakubwa huku mikoani?

    Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa. Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua. Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa...
  2. Rais Samia: Machifu Jengeni Mvuto Jamii Iwakimbilie

    Rais Samia Suluhu Hassan amewataka machifu nchini kote kujenga mvuto ili watu wakimbilie kwao wanapokuwa na migogoro badala ya kila kesi kupelekwa polisi na kisha mahakamani. Amesema ili jamii iwakimbilie ni muhimu wajenge mazingira ya uadilifu, uaminifu na kutenda haki na kwamba anaamini jambo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…