Rais Samia akizungumza na wananchi wa Peramiho amesema kuwa Sera ya CCM ni wananchi waishi maisha ya amani na kuwe na utulivu wa kisiasa wananchi waweze kufanya mambo yao kwa raha kabisa, hayo mambo mengine waachie wenyewe.
Nendeni mkachague wagombea wa CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.