Huyu mwamba wa Afrika Captain Ibrahim Traore, ni mtu nilitaka kumwona machoni akiwa Dar.
Huyu Rais Traore ni nyota ya mwafrika, na kila mwafrika mwenye kujielewa angependa kumtia machoni.
Serikali ingetutengenezea wananchi, hata mahali tunaweza kumwona mwamba huyu.
Alipokuja Mandela serikali...