Rais Cyril Ramaphosa
Rais Cyril Ramaphosa anarajiwa kuapishwa kama Rais wa Afrika Kusini kwa awamu yake ya pili. Kama mwanachama wa SADC mwenzetu twendeni tukashuhudie na kumpongeza.
NB. Wasanii, Wastaafu andaeni suti.
PIA SOMA
- Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu...