rais wa fifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Saudi Arabia yatangazwa kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2034

    Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limethibitisha rasmi kuwa Kombe la Dunia la 2034 litaandaliwa na Saudi Arabia. Uamuzi huu ulitangazwa katika mkutano wa mtandaoni uliofanyika Zurich, Uswisi, chini ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino. Saudi Arabia ilikuwa mgombea pekee aliyewasilisha nia yake kwa...
  2. Hivi Rais wa FIFA anafahamu kuna timu inaitwa Yanga kweli?

    Hapo vip! Embu tuweke ushabiki pembeni alafu tujuulize hivi rais wa FIFA anafahamu kuna timu inaitwa yanga kweli?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…