Mnamo tarehe 1 Machi 2025, maafisa wa ECOWAS waliotumwa nchini Guinea Bissau kuzungumzia tarehe mpya ya uchaguzi walilazimika kuondoka nchini humo baada ya vitisho kutoka kwa Rais Umaro Sissoco Embalo.
Uchaguzi nchini Guinea Bissau ulipaswa kufanyika Novemba 2024 lakini Rais Embalo ametangaza...
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile alimpokea Rais wa Guinea Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embalo akiwa Kiongozi wa kwanza kutembelea Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR ya Dar es Salaam - Morogoro ambayo imeanza rasmi tarehe 14.06.2024 ambapo wamesafiri naye toka Dar mpaka Pugu kwa...
Ndugu zangu watanzania,
Naomba nisiwachoshe wala kuwapotezea muda wenu.someni wenyewe hapa chini.
Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.