rais wa guinea bissau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Rais wa Guinea Bissau awatishia maafisa wa Ecowas waliokwenda kuzungumzia tarehe ya uchaguzi, waamua kuondoka nchini humo

    Mnamo tarehe 1 Machi 2025, maafisa wa ECOWAS waliotumwa nchini Guinea Bissau kuzungumzia tarehe mpya ya uchaguzi walilazimika kuondoka nchini humo baada ya vitisho kutoka kwa Rais Umaro Sissoco Embalo. Uchaguzi nchini Guinea Bissau ulipaswa kufanyika Novemba 2024 lakini Rais Embalo ametangaza...
  2. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile amuongoza Rais wa Guinea Bissau, Umaro Embalo Kktembelea Mradi wa Treni ya Kisasa ya SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile alimpokea Rais wa Guinea Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embalo akiwa Kiongozi wa kwanza kutembelea Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR ya Dar es Salaam - Morogoro ambayo imeanza rasmi tarehe 14.06.2024 ambapo wamesafiri naye toka Dar mpaka Pugu kwa...
  3. L

    Rais Samia kumpokea Rais wa Guinne Bissau Ikulu hapo kesho

    Ndugu zangu watanzania, Naomba nisiwachoshe wala kuwapotezea muda wenu.someni wenyewe hapa chini. Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti. Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea...
Back
Top Bottom