Bunge la Iran limepitisha sheria Kali kuhuzu mavazi ya wanawake. Ikiwemo vazi la hijab. Kwa Sasa sheria hiyo inawataka wanawake wavae hijab inayofunika kichwa kuzima na sio upande wa kichwa na kuonesha nywele.
Pia sheria hiyo imepiga marufuku mavazi ya suruali au nguo za kubana kwa wanawake...
Marekani nayo imeiomba Israel isipige maeneo ya nyuklia.
Huyu rais wa Iran angeyasema haya kabla hawajatuma makombora, japo yalipanguliwa yote kiasi cha kutomdhuru mtu yeyote Israel.
Majibu yanakuja, muda wowote, raia wa Iran wanaweweseka kwenye mafoleni ya kusaka mafuta na bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.