Alipokubali kushindwa uchaguzi wa uraisi mwaka 2005, akiwa nafsi ya tatu na kwenda kukijenga chama, uungwana wake uliigusa Sheria ya asili na kumpandisha kutoka mwenyekiti wa chama cha siasa cha kawaida mpaka kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha siasa cha upinzani yaani kwa kifupi ndio mkuu wa...
Rais wa Tanzania kwa mwaka 2025 ili awe na ufanisi zaidi awe na umri upi kati ya:
1. 18 hadi 25
2. 26 hadi 35
3. 36 hadi 55 au
4. 56 hadi 75?
Umri wa Kiongozi yeyote ni muhimu sana katika ufanisi kwa kuwa na nguvu ya kutosha, kumbukumbu na fikra mpya katika ujenzi wa Nchi. Tujibu bila ushabiki...
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo
Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?
Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?
Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.