rais wa yanga hersi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SAYVILLE

    TFF yampa onyo kali Rais wa Yanga Hersi Said

    TFF imeipa onyo kali klabu ya Yanga kutokana na kitendo cha viongozi wake akiwemo Rais wake Hersi Said kuingia uwanjani na kupiga zogo na wachezaji wa Singida Black Stars baada ya mechi iliyochezwa hivi karibuni baina ya timu hizo mbili. Kitendo hicho kilichofanywa na viongozi hao wa Yanga...
  2. Papaa Mobimba

    SI KWELI Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said asema hajapendezwa na jezi mpya za klabu hiyo

    Kupitia ukurasa wake wa X amesema "Kiukweli sijapendezwa na hizi jezi mpya za 2024/2025 maana zinafanana na vijora kwa hali hii nawaahidi wananchi hadi kufikia siku ya Mwananchi tutabadili hizi jezi na kitengo cha ubunifu wa jezi kitapewa onyo kali kwa kuidhalilisha brand ya Yanga"
  3. Mturutumbi255

    Je, Mahakama Ina Mamlaka ya Kumwondoa Rais wa Yanga Hersi?

    Katika tukio la kihistoria, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Rais wa Yanga, Injinia Hersi Saidi, kuachia ngazi kutokana na ukiukwaji wa katiba ya klabu. Je, mahakama ina mamlaka ya kutoa uamuzi kama huu? Mahakama zina wajibu mkubwa wa kuhakikisha kwamba sheria na taratibu zinafuatwa...
Back
Top Bottom