raja

Raja (; from Sanskrit: राजन्, IAST rājan-) is a royal title used for South Asian monarchs. The title is equivalent to king or princely ruler in South Asia and Southeast Asia.
The title has a long history in South Asia and Southeast Asia, being attested from the Rigveda, where a rājan- is a ruler, see for example the daśarājñá yuddhá, the "Battle of Ten Kings".

View More On Wikipedia.org
  1. Rais wa Raja Athletic afanya mazungumzo Miguel Ángel Gamondi

    Rais wa klabu ya Raja Club Athletic amekutana mara mbili na kocha mwenye uzoefu wa Argentina, Miguel Ángel Gamondi, ambaye kwa sasa anaonekana kuwa chaguo bora zaidi kwa nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo. Hata hivyo, bado hawajafikia makubaliano rasmi kutokana na baadhi ya masharti ambayo...
  2. S

    Azam hawapoi Wang’oa Kiungo Raja Casablanca

    BREAKING NEWS 🚨 Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumefikia makubaliano na klabu ya @RCAofficiel, ya kumnunua kiungo wao mshambuliaji, Gibril Sillah. Nyota huyo wa Gambia, anatarajia kutua nchini muda wowote kuanzia sasa kumalizia taratibu za mwisho za usajili. 👇
  3. Simba SC ilivyotolewa Juzi mliicheka je, ni lini mtaanza Kuwacheka Timu Kubwa Raja Casablanca FC nayo kwa Kutolewa?

    Na ndiyo maana wenye Akili kwa Kuujua Ugumu wa Kombe husika ( CAFCL ) na hatua ambayo Simba SC imefikia na kwa Kufa Kiume Juzi kwa Wydad Casablanca FC mpaka Waarabu wanaacha Kushangilia Wanasali na Kulia tunasema hatuna Deni na Wachezaji wa Simba SC hadi Kocha na Benchi lake lote la Ufundi...
  4. CAF Champion league: Raja Casablanca Vs Al Ahly | Updates

    Mpira umeshaanza tayari kila timu zinatafutana
  5. Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

    Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…