ranchi ya usangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Wawekezaji waliokiuka mkataba ranchi ya Usangu kuondolewa

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti ameuagiza Uongozi wa Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kuwaandikia notisi ya kuwatoa kwenye vitalu wawekezaji waliokiuka masharti ya Mkataba wa kukodisha mashamba katika Ranchi ya Usangu. Mnyeti ametoa maelekezo hayo Machi 7, 2025 Wilayani Mbeya...
  2. Sir robby

    Nchi inaliwa na Viongozi Ranchi ya Usangu, masikini Tanganyika

    Rais Wasaidizi wako wanakuangusha Tanganyika imegeuzwa shamba la bibi au kichwa cha mwendawazimu kila anayejifunza kunyoa anaenda kwenye Ranchi ya Usangu. Kazi yetu kukuhabarisha, hatua stahiki utazichukua wewe. === Ranchi ya Usangu yageuzwa Shamba la Bibi Waziri Mkuu Majaliwa Kassim...
Back
Top Bottom