Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti ameuagiza Uongozi wa Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kuwaandikia notisi ya kuwatoa kwenye vitalu wawekezaji waliokiuka masharti ya Mkataba wa kukodisha mashamba katika Ranchi ya Usangu.
Mnyeti ametoa maelekezo hayo Machi 7, 2025 Wilayani Mbeya...
Rais Wasaidizi wako wanakuangusha Tanganyika imegeuzwa shamba la bibi au kichwa cha mwendawazimu kila anayejifunza kunyoa anaenda kwenye Ranchi ya Usangu.
Kazi yetu kukuhabarisha, hatua stahiki utazichukua wewe.
===
Ranchi ya Usangu yageuzwa Shamba la Bibi
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.