rap

  1. OKW BOBAN SUNZU

    Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

    https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza Chid Benz.
  2. Eli Cohen

    Sio vibaya ukianza kwa ku-share tracks tano za rap bora uzipendazo za muda wote

    1: Nas - New York State Of Mind "I never sleep, cause sleep is the cousin of death. Beyond the walls of intelligence, life is defined. I think of crime when I'm in a New York state of mind" 2: Ice Cube - Today Was The Good Day "Get me on the court and I'm trouble Last week, messed around and...
  3. Eli Cohen

    Nafikiri hizi nyimbo 20 za rap ya Bongo ndizo bora kwa muda wote

    20: Chid Benz - Bongo Dar es Saalam 19: FA - Bado Nipo Nipo 18: Fid Q - Propaganda 17: AY and FA - Habari Ndiyo Hio 16: Piggy Black - Nini Mnataka Mazee 15: AY - Raha Tu 14: Professor J - Hapo Sawa 13: Balozi -Kwenye Chati 12: Sugu - Wananiita Sugu 11: Professor J - Nikusaidiaje 10...
  4. R-K-O

    Mashairi: Khaligraph hajatukana Wasanii wa Bongo Bali anawakumbusha tu kuwa wamepooza sana kwenye Game ya Rap wamekimbilia Kwenye Amapiano

    KHALIGRAPH - Bongo Favour Lyrics 𝐓𝐀𝐅𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐖𝐀𝐇𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐈𝐏𝐎 Tusahishane kama kuna makosa+nyongeza Yeah nafanya TZ mbogi ipaniki ᴍʙᴏɢɪ = ᴋᴜɴᴅɪ, ᴍꜰᴀɴᴏ ᴡᴀɴᴀᴏᴢᴜɴɢᴜᴍᴢɪᴡᴀ ʜᴜᴍᴜ Wakiona OG amejam, zogo! ᴡᴀᴍᴇᴀᴏɴᴀ ɴᴀᴡᴀᴘᴀ ᴍᴀᴋᴀᴠᴜ, ᴡᴀᴍᴇᴀɴᴢᴀ ᴋᴇʟᴇʟᴇ Big rappers na mbona mnaplans ndogo? Na sitafuti kiki...
  5. OKW BOBAN SUNZU

    Hii hapa rap ya karne kwa African Hip Hop

    https://youtu.be/UiIa2i29PZ4 R.I.P Father Nelly wa Xplastaz Nimesikiliza hii nyimbo tangu nikiwa bwana mdogo mpaka leo nimekuwa broo! Nafikiri tukubaliane sasa kwamba kwa Hip Hop hii ndio rap bora zaidi kwa karne hii kwa African Hip Hop. Hii ngoma ilizingatia vigezo vyote. Mistari inaeleweka...
  6. BARD AI

    Miaka 20 ya Mr Blue kwenye Rap

    Karibu kwenye mfululizo mwingine wa maandishi juu ya Hip Hop Kulture, This time tunafanya reflection ya miaka 20 ya Mr Blue ndani ya Rap Game. For the past Two weeks, Mr Blue katokea sana kwenye Timeline yangu pale Youtube na pia Instagram. Being a Philosopher I always know when am asked by the...
  7. Forest Hill

    Wakongwe wa Rap Bongo anayekumbuka nyimbo hii inaitwaje anisaidie jina niitafute

    Habari zenu wakuu, Kuna nyimbo nakumbuka mistari yake na kisa chake, sauti ya Saigon pia IPO kwenye hiyo ngoma,kisa cha nyimbo ni washikaji maisha magumu hawana pesa za mavazi wala maradhi, wanapanga wakavamie nyumbani kwa muhindi tajiri wachukue pesa wamalize shida zao,,katika mpango wao...
  8. Hisha Sorel

    It is Time to Reconsider Our Association of Blackness and Rap Music

    Since its founding in New York, rap music has become synonymous with Black identity. This association has sheltered Rap from popular criticism. Significant critique has unfortunately come from the Right-wing press which, motivated by racism, has accused the genre of causing drug use and gang...
  9. Miguel Alvarez

    Ni msanii gani wa HIPHOP ni mkali wa Storytelling song

    Natumaini wote ni wazima humu jamvini poleni na majukumu pia..! Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza mm ni mpenzi sana wa Ngoma za Hiphop leo na taka tushare pamoja kuhusu Rappers wa kibongo hata huko majuu(ulaya) je ni msanii gani ni best kwa Storytelling song kwa mimi msanii wa kibongo...
  10. Sky Eclat

    Snoop Dogg may be one of the most famous rap artists of his time, but did you know his biggest role is husband and father to four kids? Meet the famil

    Snoop, born Calvin Broadus Jr., has been with his wife Shante Taylor for over 24 years. They were high school sweethearts and got married on June 12, 1997. Their marriage produced three children, today ranging in age from 22 to 27. Snoop also has a child from a previous relationship. No...
  11. C

    Upcoming album of Kendrick Lamar

    Rapa Kendrick Lamar ameandikisha nyimbo mpya 30 ktk taasisi ya kusimamia haki za kazi za sanaa za wasanii nchini Marekani ikiwa ni matayarisho ya kutoa album yake ya mwisho chini ya lebo ya TDE [Top Dawg Entertainment]. Nyimbo hizo ni pamoja na 'Feel For You', 'End of the Line', 'Erika Kane'...
  12. G

    50 Cent, Ghetto Economics na Muziki wa Rap - 1

    50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1 UTANGULIZI Peace Family Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New York” na kati kati ya vita hiyo muhusika muhimu kabisa anajulikana kama Curtis Jackson au maarufu...
  13. OKW BOBAN SUNZU

    Haijawahi kutokea rap song kali Afrika kama ya Father Nelly

    Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
  14. MZK

    Ujio wa Waziri wa Nishati Dk. Kalemani katika mradi wa umeme Rusumo, waulize NELSAP-CU ziko wapi bilioni 70 (US$ 32 Million) RAP, LADP na ESMP?

    Mawaziri wa wanaohusika na Nishati wa Tanzania, Burundi Na Rwanda Ijumaa ya Tarehe 6 December 2019 wanatarajia kuzuru mradi wa Umeme wa Maporomoko ya Mto Rusumo. Mradi huu unatekelezwa na ubia wa Nchi hizi Tatu kwa Mkopo wa Takribani dola za Marekani Milioni 500 ili kuzalisha 80MW ambazo ni...
Back
Top Bottom