https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm
Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza Chid Benz.
1: Nas - New York State Of Mind
"I never sleep, cause sleep is the cousin of death. Beyond the walls of intelligence, life is defined. I think of crime when I'm in a New York state of mind"
2: Ice Cube - Today Was The Good Day
"Get me on the court and I'm trouble
Last week, messed around and...
20: Chid Benz - Bongo Dar es Saalam
19: FA - Bado Nipo Nipo
18: Fid Q - Propaganda
17: AY and FA - Habari Ndiyo Hio
16: Piggy Black - Nini Mnataka Mazee
15: AY - Raha Tu
14: Professor J - Hapo Sawa
13: Balozi -Kwenye Chati
12: Sugu - Wananiita Sugu
11: Professor J - Nikusaidiaje
10...
https://youtu.be/UiIa2i29PZ4
R.I.P Father Nelly wa Xplastaz
Nimesikiliza hii nyimbo tangu nikiwa bwana mdogo mpaka leo nimekuwa broo!
Nafikiri tukubaliane sasa kwamba kwa Hip Hop hii ndio rap bora zaidi kwa karne hii kwa African Hip Hop. Hii ngoma ilizingatia vigezo vyote. Mistari inaeleweka...
Karibu kwenye mfululizo mwingine wa maandishi juu ya Hip Hop Kulture, This time tunafanya reflection ya miaka 20 ya Mr Blue ndani ya Rap Game.
For the past Two weeks, Mr Blue katokea sana kwenye Timeline yangu pale Youtube na pia Instagram. Being a Philosopher I always know when am asked by the...
Habari zenu wakuu,
Kuna nyimbo nakumbuka mistari yake na kisa chake, sauti ya Saigon pia IPO kwenye hiyo ngoma,kisa cha nyimbo ni washikaji maisha magumu hawana pesa za mavazi wala maradhi, wanapanga wakavamie nyumbani kwa muhindi tajiri wachukue pesa wamalize shida zao,,katika mpango wao...
Since its founding in New York, rap music has become synonymous with Black identity. This association has sheltered Rap from popular criticism.
Significant critique has unfortunately come from the Right-wing press which, motivated by racism, has accused the genre of causing drug use and gang...
Natumaini wote ni wazima humu jamvini poleni na majukumu pia..! Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza mm ni mpenzi sana wa Ngoma za Hiphop leo na taka tushare pamoja kuhusu Rappers wa kibongo hata huko majuu(ulaya) je ni msanii gani ni best kwa Storytelling song kwa mimi msanii wa kibongo...
Snoop, born Calvin Broadus Jr., has been with his wife Shante Taylor for over 24 years. They were high school sweethearts and got married on June 12, 1997. Their marriage produced three children, today ranging in age from 22 to 27.
Snoop also has a child from a previous relationship. No...
Rapa Kendrick Lamar ameandikisha nyimbo mpya 30 ktk taasisi ya kusimamia haki za kazi za sanaa za wasanii nchini Marekani ikiwa ni matayarisho ya kutoa album yake ya mwisho chini ya lebo ya TDE [Top Dawg Entertainment]. Nyimbo hizo ni pamoja na 'Feel For You', 'End of the Line', 'Erika Kane'...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1
UTANGULIZI
Peace Family
Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New York” na kati kati ya vita hiyo muhusika muhimu kabisa anajulikana kama Curtis Jackson au maarufu...
Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
Mawaziri wa wanaohusika na Nishati wa Tanzania, Burundi Na Rwanda Ijumaa ya Tarehe 6 December 2019 wanatarajia kuzuru mradi wa Umeme wa Maporomoko ya Mto Rusumo.
Mradi huu unatekelezwa na ubia wa Nchi hizi Tatu kwa Mkopo wa Takribani dola za Marekani Milioni 500 ili kuzalisha 80MW ambazo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.