BURIANI RASHID "INZI" TIMAMY MWANASOKA WA SIFA
Imekuwa kawaida yetu kuwa hatuna historia yetu yoyote iliyohifadhiwa rasmi.
Kama si kwa hii video ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la Bulji ambae alipata kuwa mbunge wa Mafia leo tusingekuwa na kitu cha kuweka hapa kueleza historia ya...