Tanzania, nchi yenye mandhari ya kuvutia na utajiri mkubwa wa rasilimali za asili, inajivunia kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wake kutokana na sekta mbalimbali kama madini, gesi asilia, kilimo, utalii, uvuvi, misitu, nishati, na mafuta. Rasilimali hizi zimeweza kusaidia katika kukuza uchumi...
Salaam, Shalom!!!
Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!!
Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo, ikibidi hata viatu alivyovaa...
Miaka ya majaribio madini na bahari mapori vyote vimeuzwa kwasasa Tanzania ina deni la trilioni 91 hii maana yake ni kwamba kwa Watanzania milion 60 kila mmoja anadaiwa Tsh 1,500,000/=. Kwanza hapo ulipo hiyo pesa unayo?
Kwangu mimi naona chawa wapunguze mihemko mama ana kila sababu ya...
deni la taifa kukua
kuelekea uchaguzi 2025
kugombea awamu nyingine
kuuza rasilimali
madini na bahari kuuzwa
mitano tena
rais samia
rasilimalizatanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.