Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda
Akizungumza na waandishi wa habari tarehe 9/5/2023, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 toleo la 2023 pamoja na Rasimu ya Mitaala Mipya ya Elimu ya Msingi, Sekondari na...
elimuelimuya awali
elimuya msingi
kamati
katiba
katiba mpya
kitaifa
kubadilisha
maboresho
maoni
mfumo
mitaala
mitaala yaelimu
mpya
msingi
rasimurasimuyaelimu
ripoti
sekondari
sera yaelimu
serikali
ualimu
walimu
Unamkumbuka Mwanafalaki na Mwanahisabati aliyekuwepo zaidi ya miaka elfu mbili na mia mbili iliyopita katika kisiwa cha Sisilia ambacho leo tunaita Italia. Mtaalamu ,huyu alikuwa anaitwa Archmedes mtoto wa Phidias ambaye pia alikuwa Mwanafalaki. Katika kipindi cha uhai wake kabla ya kuja...
Watanzania serikali imetoa rasimu ya sera ya elimu, ili kila mmoja wetu atoe maoni yake, sasa badala ya kuisoma tunakimbilia kutoa lawama lukuki.
Hiyo ni rasimu imetolewa ili kila mmoja atoe maoni sasa tutoe maoni yetu tunatakaje, nasoma maoni ya wengi ni kulaumu tu, hiyo sio sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.