rc albert chalamila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    BAWACHA yatoa onyo dhidi ya kauli ya RC Chalamila kuhusu wajawazito

    Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) taifa limeeleza masikitiko yake makubwa juu ya kauli iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, aliyesema kuwa, “Wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani.” Kauli hiyo iliyotolewa wakati wa mkutano na wananchi wa Temeke...
  2. Mindyou

    RC Albert Chalamila: Dar kila mtu anataka kumiliki ardhi. Hayo ni mawazo ya kishamba, uzieni watu nyumba sio ardhi!

    Watu wa Dar mko wapi? Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila amezungumzia namna ambavyo watu wengi wa Dar wanapenda na kutaka kumiliki ardhi. Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu...
  3. Waufukweni

    RC Albert Chalamila: Gari lililobeba mitambo maalum liko njiani kwa ajili ya Uokoaji Kariakoo

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema tayari gari maalum lililobeba greda na mitambo mingine linakaribia kufika Kariakoo kwa ajili ya kusaidia uokoaji wa Watu waliofukiwa na kifusi baada ya ghorofa kuporomoka ambapo amewataka Watanzania kutolaumiana kwa sasa bali kuweka nguvu...
  4. Pdidy

    Mkuu wa Mkoa Dar wapige chini baadhi ya Viongozi wa mashirika Soko la Kariakoo

    Gazeti za jana zimesikitisha sana kwa yanayoendelea pale Kariakoo. RC wangu, wakati doll ikikagua yale majina, nikujuze tu kuwa mamlaka yako inaruhusiwa kuwaondoa viongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo mapema. Kumekuwa na kama dili za ajabu, soko likiungua viongozi wanafikiri ndio sehemu ya...
  5. Megalodon

    Nina wasiwasi na uwezo na elimu ya Chalamila, alikuwaje mkuu wa mkoa ?

    Huyu jamaa natamani kujua education background yake, nahisi kama hata darasa la 7 hajamaliza. Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa ? Alifikaje ? Unajua zaman mifumo ulikuwa loosely watu wamefoji sana vyeti na safisha ya JPM haikula hata 30% ya waliofoji. Huyu jamaa hana uwezo wa kuanalyze matatizo ya...
  6. Heparin

    Pre GE2025 RC Chalamila ataka Tume Huru ya Uchaguzi iwe chini ya Rais

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo. Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka nayo, itakuwa siyo nchi. Mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka...
  7. J

    Tulioishi Dar enzi za RC John Mhaville tunamkaribisha RC Mwalimu Albert Chalamila kwa mikono miwili

    Jiji la Dar es salaam linahitaji Viongozi aina ya Albert Chalamila wanaosema na kutenda siyo hao mapapaa. Sisi Wahenga tunaupokea Uteuzi wa Rais Samia kwa mikono miwili. Na yeye Chalamila akitaka kuleta za kuleta tunamzingua vile vile. Karibu sana mwagito!
  8. Chizi Maarifa

    Kama Yusuf Makamba aliongoza Dar es Salaam, Chalamila hawezi kushindwa

    Mwacheni RC Chamalila aje Dar. Huyu mate namfahamu yupo vizuri na anajiamini sana tu. Jiji la Dar miaka flani liliwahi kuongozwa na Yusuf Makamba. Akaweza tu. Itakuwa Chalamila? Acheni maneno yenu. Chalamila anafaa na nitapendekeza aje haraka aanze kazi. Tuliongozwa na Yusuf Makamba itakuwa...
Back
Top Bottom