Wakati kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefichua kuwa ameshawanasa baadhi ya wachezaji wa timu hiyo wakijaribu kuihujumu.
.
Kauli hiyo ya kushtua ya Mtanda...