Kama ulibahatika kuwa Kijana au kuwa na umri wa utambuzi miaka hiyo Utakumbuka Zaidi Nyimbo Mojawapo iliyokuwa Gumzo miaka hiyo ni Mapenzi kitu gani ya MB DOG..
sasa leo Nataka kukuletea Story kidogo kuhusu Nyimbo hiyo kuwa Nyimbo hyo kwa 90% haikuzungumzia Mapenzi bali ilitoa Sifa na Shukrani...
Mimi ni tourist from Kenya. I recently visited Dar es Salaam. Na nilivyokuwa Dar nilipanda ferry kuelekea Kigamboni.. and back.. On my way back to the other side a certain askari hapo tu ferry akaniita ati nimwonyeshe simu yangu my gallery eti nimepiga picha ilhali sijapiga picha kabisa...
Anonymous
Thread
dar
dar es salaam
ferry
from
kenya
kigamboni
kuelekea
mimi
recently
Nini kimebadilika hapo nyuma ilikuwa lazima utumie ushawishi mkubwa kumfanya mtoto wa mtu ashike mic nakuanza kutuma salama ulikuwa ni mtiti tena hata akituma salamu basi atakosea jinsi ya kuongea kwenye mic.
Hivi sasa ile umezubaa tu mtu kashadaka mic nakuanza kutuma salamu watoto uoga wa...
Kwa upande Wangu this list is my favourite Kwa nyimbo zilizotoka recently
Judikay - Man of Galilee
Israel Mbonyi - Malengo.
Israel Mbonyi - sikiliza.
Israel Mbonyi - amenisamehe.
AIC chang'ombe choir - elohim
Moses Bliss - You are great
Mercy Vhinwo - You do this one.
a maelekezo mpigieni huyo jamaa atawaelekeza coz it's one of those wanaofanyisha interview 0752153535
All the best for all job seekers.
Kindly share for others too.
Wadau kwema,
Naomba msaada ni wapi kupata recent GIS Shapeline ya Tanzania inayoonyesha kata, wilaya, na mikoa ya Tanzania.
Nimejaribu katika website ya NBS Tanzania lakini naona kuna shape za 2015.
Msaada naomba mwenye ufahamu wa hii taaluma.
God over Everything
Also God please give them hope patients and prisoners and to him nothing Imposssible.
I'm 26 years old
Muslim
God fearing person
Self-esteem
Hard worker
Government servant
No kids
No serious relationship
Outlook
Urefu Futi 5.8
Maji ya kunde
Weights 68
Sifa za Mwanamke...
Habari!!
Speaker au subwoofer ya gari au nyumbani unaweza kuifanya ya kisasa yenye Bluetooth kwa kutumia kifaa hiki hapa
Kinapatikana kwa bei nafuu ya Tsh. 15000. Tu kwa mawasiliano zaidi nicheki kwa 0767142928 text,call,WhatsApp tufanye biashara.
Napatikana Mbeya.
Mikoani tunatuma ukihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.