recruiter

  1. residentura

    Mbowe; Recruiter Bora kuliko hata TAI!!??

    Huyu ndugu yangu Freeman Mbowe naamini ndiye recruiter bora kwa miongo 3 katika nchi hii (kwenye upande wa siasa). Kwa nini serikali/system isimchukue na kumpa kitengo cha kutafuta vijana wenye uwezo, kuwapika na kisha tukapata wakina Lissu wengi, wakina Heche wengi, wakina Mnyika wengi...
  2. houstony

    Natafuta ajira au internship nimesoma MECHANICAL ENGINEERING

    Habari ndungu zangu Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.
Back
Top Bottom