Recruitment refers to the overall process of identifying, attracting, screening, shortlisting, and interviewing suitable candidates for jobs (either permanent or temporary) within an organization. Recruitment can also refer to processes involved in choosing individuals for unpaid roles. Managers, human resource generalists and recruitment specialists may be tasked with carrying out recruitment, but in some cases public-sector employment, commercial recruitment agencies, or specialist search consultancies are used to undertake parts of the process. Internet-based technologies which support all aspects of recruitment have become widespread, including the use of artificial intelligence (AI).
Shugulika Africa Ltd is a recruitment company that specializes in connecting employers with qualified job seekers. The company provides staffing solutions across various industries, helping organizations find the right talent for their workforce needs. Shugulika handles recruitment processes...
Habari Wadau,
Nakutana na changamoto ya usajili wa TIN number kwenye recruitment portal ya TRA, ambapo kila nikijaribu kuingiza number husika za TIN na kuzi-save, mfumo unaleta msg kwamba zimekuwa saved successfuly, lakini baada ya muda sehemu ya TIN yenye asterisk inabaki wazi tena.
Je, kwa...
Hello Wasailiwa Watarajiwa wa Ngazi ya Ualimu katika Utumishi (PSRS),
For those of you preparing for the Utuminshi recruitment exams (both Written Test and Oral Interview), we recommend checking out various practice tools. Many candidates have shared that the exam questions often revolve around...
MASTERING INTERVIEW RESPONSES NATURALLY: A GUIDE FOR SECRETARIATE JOB INTERVIEWS OR ANY PROFFESSIONAL.
+255656480968
👉In a professional interview, questions should be clear, measurable, and able to be scored. The answers should also be measurable and follow specific criteria.
For example, if a...
Watu wengi najua wanafahamu zaidi recruitment portal ya serikali yani ajira portal. Lakini zipo portal nyingi tu ajira za watu tofauti tofauti.
Mimi binafsi nawakubali cvpeople walishanipa interview tatu tofauti na moja ikawa nimepata ajira. Zamani nilikuwa nawaelewa empower pia ila baadae...
Ama kwa kweli kila hatua ina changamoto zake, japo makali ya hizo changamoto yanaweza kutofautiana!!
1. Changamoto moto kwenye hatua ya application:
*Mtandao kusumbua wakati deadline ya application imekaribia
*Application kugoma kwenda kwa kigezo kuwa huna sifa, wakati sifa zako ni hizo hizo...
Siku za nyuma kidogo kulikua na tuhuma kwamba kuna watu wameandaliwa na chama tawala kuja kutetea kila kitu kinachofanywa na serikali huku mitandaoni kwa malipo ya shilingi 7000 kwa siku, sina uhakika kama izo tuhuma zilikua za kweli
Lakini matokeo tunayaona mitandaoni, kuna wapambe ambao...
Habari wana jamvi.
Jiji la daslamu limejaa shughuli nyingi kuanzia viwanda vidogo mpk vikubwa, makampuni, mashirika na hata michongo midogomidogo.
Kutokana na uwejezaji huo kwenye sekta mbalimbali kumepelekea kuzaliwa kazi na ajira nyingi.
Wanaowinda kazi ni wengi ila siyo wote wanaojua...
Wadau kwema, niwapongeze kwa kufanikiwa kuiona siku mpya hakika Tumepata kibali cha siku mpya.
Katika pita pita zangu ktk.mfumo wa fursa za ajira utumishi wa umma, nimekutana na kitu ambacho kimenifanya niwaze na kutilia shaka uweledi wa sekretarieti.
Nimeambatanisha picha za moja ya nafasi za...
Jaman wana members,
naomba kujua nimepoteza akaunti yangu ya ajira na niliombea kazi kwa kutumia NIN sasa nikijaribu haikubali isitoshe zile namba pale zilizoandikwa dawati la malalamiko hazipatikani wala kupokelewa
Niende moja kwa moja kwenye point. Lengo la hii mifumo ni kurahisisha process ya kuomba ajira na kuongeza umakini katika kuhakiki taarifa za mwombaji. Kwenye mfumo mtu anawajibika kuupload copy za vyeti zilizokuwa certified. Kwanini mfumo usiwe intergrated na necta directly.
Kwanini sehemu ya...
Heshima kwenu waungwana
Naomba kujuzwa kuhusu Recruitment Agencies nzuri Ambazo zinatafutia watu ajira kwa sasa na hazina longolongo
Yoyote anaezifahamu tunaomba atuorodheshee hapa pamoja na email zao ili kuwasaidia na wengine wenye uhitaji wa kutumia CV zao
Asanteni
Habari za wakati huu,
Kila biashara huwa inakuwa na aina mbili za shughuli kwa kutegemea sector yake.(Nitachanganya lugha)
Function za kwanza zinaitwa CORE FUNCTIONS(Shughuli za msingi ambazo hasa ndo zinafanya biashara iwepo yaani ndo zinaingiza pesa au kutengeneza value)
Function za pili...
To effectively achieve the goals of an organization, people with the right set of skills and competence should be assigned to strategic positions at the right time and under the best suitable conditions. This requires a vast amount of time on human resources planning in order to avoid placement...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.