Alikuwa hajui masikini ya Mungu kwamba red carpet ni kwa viongozi tu.....
Angalia kuanzia hapo nilipotega....
Mjeshi wa Samia, kaitwa pembeni na kachero la kikorea
Huu utaratibu wa rais wetu kufuatwa na mwanajeshi kila hatua kila Rais anaekuja anaiga.... Monkey See, Monkey Do....
Mjeshi...